Posts

Showing posts from March, 2014

MWACHENI MAMA AITWE MAMA

Image
Imekuwa kawaida kuwa kila ifikapo tarehe 8 ya mwezi wa tatu tunaazimisha siku ya mwanamke Duniani kwa sababu mama ndio kiungo muhimu katika familia maana yeye ndiye ana kazi kubwa ya malezi tangu mtoto yupo tumboni hadi anakuwa kwaiyo mama ananafasi kubwa katika familia. Mueshimu mama ili hupate misingi mizuri ya kujua kuishi na watu pamoja kuwa na akili iliyo thabiti maana bila mama baba asingepata   jina la baba fulan. Kwaiyo tunapo azimisha sherehe hiyo ya siku ya mwanamke Duniani lazima tutambue kuwa bila ya mama bado atujakamilika . Yoteyote tuwaeshimu mama zetu ili tuweze kupata hekima ya maisha marefu duniani na siku zote za maisha mpe nafasi mama maana yeye ndio anajua uchungu wa mwana. Tuwapende mama zetu ili tupate miaka mingi na heri duniani.

BASATA YA WAKUMBUSHA WASANII ILI WAWEZE KUPATA ELIMU YA SANAA

Image
Balaza la Sanaa Tanzania liko pamoja na wasanii wote kuakikisha kuwa kila msanii anapata haki yake kisanaa maana wao ndio wanawatia nguvu wasanii pale ambapo wanakosea katika kazi zao za sanaa. Vilevile Basata wana siku ya jukwaa la sanaa ambalo linakuwa kila juma tatu ya mwanzo wa wiki linawakutanisha wasanii wote wale wenye majina makubwa na wale ambao ni wadogo katika   sanaa. Pia balaza la sanaa linatoa mafunzo ya kisanaa kwa muda wa miezi mitatu kwa makundi tofauti ya wasanii na fani walizo nazo kama vile,uwimbaji,sanaa ya uchoraji,sanaa ya maigizo pamoja na fani zingine wakzo nazo wasanii. Wasanii wamepewa nafasi kubwa kwa kutoa kiasi kidogo fedha ili kuweza kujiunga na chuo hicho lakini tatizo linakuja kuwa muamko wa wasanii wanao jitokeza kujiunga na balaza hilo la sanaa ili kuweza kupata utaalamu zaidi katika fani zao za sanaa. Watanzania inabidi tuamke kupitia fulsa tunazo zipata ili kuweza kufika malengo tulio tarajia kufika maana chamsingi kuchan...

WATANZANIA WANASUBILIA KATIBA YAO MPYA WAONE KILICHO BADILISHWA

Image
Ndani ya bunge maalumu la katiba mjini Dodoma wakati wananchi wakitegemea kuwa walio chaguliwa kwenye Bunge la katiba   kuwa watatekeleza   maoni yaliyo tolewa na wananchi badala yake kichoendela saizi katika Bunge la katiba ni utani na masihala ambayo hayana msingi katika   Bunge hilo maalumu . Kingine katika Bunge hilo la katiba kuna baazi ya wajumbe wanalala tu na sio kuangalia kilicho mpeleka katika Bunge la katiba sio haki wanachokifanya maana wananchi wanalalamika kuhusiana swala hilo la kuto wajibika baadhi ya wajumbe katika bunge hilo tangu waliupo enda katika Bunge hilo.                                                                   ...

VODACOM WAMEJIPANGA KUKUZA VIPAJI NCHINI

Image
Nikampuni inayotoa huduma za simu za mkoni nchi Tanzania . na ina miaka miaka mingi tangu ianze kutoa huduma zake kwa kuwa hudumia watumiaji wa simu nchini. Pia pamoja na kutoa huduma za kimtandao lakini pia wanazamini ligi kuu ya mpira nchi Tanzania na ligi hiyo imepewa jina la (Vodacom premier leuge). Vilevile awaja ishia hapo bado wana mipango ya muda mrefu ya kukuza vipaji kwa watoto ili nao wafike malengo katika maisha yao ya kimpira. Wanacho kifanya Vodacom ni jambo zuri maana wameona katika nchi yetu akuna muamko wa kukuza vipaji   kwa watoto wadogo kwaiyo wsameliona hilo ndio maana wameamua kulifanyia kazi swala hilo la kukuza vip[aji Nchini. Na kuna ligi walianzisha wiki moja iliyopita ili jumuisha wilaya tatu za mkoa wa Dar es salaam yani ILALA,KINONDONI pamoja na TEMEKE ambapo kila wilaya ili toa timu nne za shule za  sekondali ili kuwaita vijana kushiriki katika Michezo.