BASATA YA WAKUMBUSHA WASANII ILI WAWEZE KUPATA ELIMU YA SANAA



Balaza la Sanaa Tanzania liko pamoja na wasanii wote kuakikisha kuwa kila msanii anapata haki yake kisanaa maana wao ndio wanawatia nguvu wasanii pale ambapo wanakosea katika kazi zao za sanaa.

Vilevile Basata wana siku ya jukwaa la sanaa ambalo linakuwa kila juma tatu ya mwanzo wa wiki linawakutanisha wasanii wote wale wenye majina makubwa na wale ambao ni wadogo katika  sanaa.

Pia balaza la sanaa linatoa mafunzo ya kisanaa kwa muda wa miezi mitatu kwa makundi tofauti ya wasanii na fani walizo nazo kama vile,uwimbaji,sanaa ya uchoraji,sanaa ya maigizo pamoja na fani zingine wakzo nazo wasanii.

Wasanii wamepewa nafasi kubwa kwa kutoa kiasi kidogo fedha ili kuweza kujiunga na chuo hicho lakini tatizo linakuja kuwa muamko wa wasanii wanao jitokeza kujiunga na balaza hilo la sanaa ili kuweza kupata utaalamu zaidi katika fani zao za sanaa.

Watanzania inabidi tuamke kupitia fulsa tunazo zipata ili kuweza kufika malengo tulio tarajia kufika maana chamsingi kuchanga mkia tenda pale linapo tokea.

Na kama kweli tuna wasanii wengi nchini na awajui wapi pakupatia utaalamu wa sanaa zao Basata wamechukulia uzito swala hilo kushirikiana pamoja na wasanii hao wanao taka kupata  utaalamu wa sanaa zao walizo nazo.

Chamsingi  wote kuwa wa kwanza kwa fulsa zinazotokea katika nchi yetu maana fulsa zinazo tolewa na serikali yetu sababu kuwa fulsa hizo ni haki ya watanzania wote kuzipata maana ni haki yetu kupata tuwe  uchu wa mafanikio kama wenzetu walivyo endelea katika sanaa.

Comments

Popular posts from this blog

Unajua kiungo kikubwa zaidi kwenye Mwili?, Unajua kina uzito gani? Fahamu hapa

MAMBO YA YANGA NA AL AHLY