VODACOM WAMEJIPANGA KUKUZA VIPAJI NCHINI
Nikampuni inayotoa huduma za simu za mkoni nchi
Tanzania . na ina miaka miaka mingi tangu ianze kutoa huduma zake kwa kuwa
hudumia watumiaji wa simu nchini.
Pia pamoja na kutoa huduma za kimtandao lakini pia
wanazamini ligi kuu ya mpira nchi Tanzania na ligi hiyo imepewa jina la (Vodacom
premier leuge).
Vilevile awaja ishia hapo bado wana mipango ya muda
mrefu ya kukuza vipaji kwa watoto ili nao wafike malengo katika maisha yao ya
kimpira.
Wanacho kifanya Vodacom ni jambo zuri maana wameona
katika nchi yetu akuna muamko wa kukuza vipaji
kwa watoto wadogo kwaiyo wsameliona hilo ndio maana wameamua kulifanyia
kazi swala hilo la kukuza vip[aji Nchini.
Na kuna ligi walianzisha wiki moja iliyopita ili jumuisha wilaya tatu za mkoa wa Dar es salaam yani ILALA,KINONDONI pamoja na TEMEKE ambapo kila wilaya ili toa timu nne za shule za sekondali ili kuwaita vijana kushiriki katika Michezo.
Comments
Post a Comment