Tetesi: Arsenal sasa macho kwa Cavani.
The Gunners kwa sasa wanaonekana kua njia panda dili la Benzema, huku
kocha Wenger akitia matumaini ya kuipata saini hiyo muda wowote.
Huku PSG wakidaiwa kutokua na nia ya kutomuuza Cavani, lakini kitu
kinachotia moyo ni kwamba hali ya baadaye kati ya Cavani na klabu
haijaeleweka kwa hiyo huenda ukawa ni mwanya mkubwa kwa Arsenal.
Cavani ambaye pia alihusishwa na Manchester United mapema mwezi huu, alitua PSG majira yaliyopita akitokea Napoli kwa £55m.
Comments
Post a Comment