Haya mengine kuhusu ishu ya Man United na Neymar



Ripoti mpya zinadai kua Neymar atasaini mkataba
mwingine wa pesa nyingi klabuni Barcelona na kuachana na uvumi wa Man United

Nyota huyo kwa sasa nae amekua akihusishwa sana na Man United huku The Guardian wakisema kua vyanzo vinadai Neymar anaweza kufikiria kuhamia Red Devils.

Hata hivyo mchambuzi mmoja wa La ligaGuillem Balague  ameibuka na kudai kua Neymar anatarajia kuongeza mkataba mwingine na wakali wa Catalan.

Mchambuzi huyo ame tweet "Neymar atasaini upya mkataba wake na Barcelona. Lakini kabla hajasaini stori nyingi zitatokea. Ni mchezo wa kizamani"

Comments

Popular posts from this blog

Unajua kiungo kikubwa zaidi kwenye Mwili?, Unajua kina uzito gani? Fahamu hapa

MAMBO YA YANGA NA AL AHLY