Siku ya wapenda nao ya tarehe 14/02/2014
Ni siku ambayo ilikuwa inasubiliwa sana kwa wale
ambao wapo katika mahusiano ya kimapenzi lakini ata wale ambao wanapenda
marafiki zao pamoja na wazazi.
Pamoja kufurahia mahusiano ya na familia zingine na
katika jamii zingine tunaoishi nao kila
siku katika maisha yetu kitu cha msingi kuishi kwa amani na upendo na watu
katika jamii zetu.
Pamoja tunaweza tukaendelea kuishi kwa amani na
upendo katika maisha yetu valentine njema.
Comments
Post a Comment