Mwili unaviungo vingi kama ngozi, Moyo ini, Mapafu na vingine kibao, lakini ndugu msomaji wa KwataUnit.com umewahi kujiuliza kuwa ni Kiungo gani huwa kikubwa zaidi ya Vingine? Kama Ulikuwa hufahamu Tupo kwaajili ya kukufahamisha, NGOZI ndiyo inayotajwa kuwa kiungo kikubwa zaidi, Ngozi ya mtu mzima inakadiriwa kufikia uzito wa kilo 10.8 na zaidi. Hii Hutegemea na Urefu na Umbo la Mtu pia, lakini mara nyingi hufikia uzito huo, Ngozi hata kwa kuonekana tu huonekana imefunika sehemu nyingi za mwili hasa za ndani, Usikose kuwa unaungana na KwataUnit.com kwa Habari nyingi zaidi.
Imekuwa kawaida kuwa kila ifikapo tarehe 8 ya mwezi wa tatu tunaazimisha siku ya mwanamke Duniani kwa sababu mama ndio kiungo muhimu katika familia maana yeye ndiye ana kazi kubwa ya malezi tangu mtoto yupo tumboni hadi anakuwa kwaiyo mama ananafasi kubwa katika familia. Mueshimu mama ili hupate misingi mizuri ya kujua kuishi na watu pamoja kuwa na akili iliyo thabiti maana bila mama baba asingepata jina la baba fulan. Kwaiyo tunapo azimisha sherehe hiyo ya siku ya mwanamke Duniani lazima tutambue kuwa bila ya mama bado atujakamilika . Yoteyote tuwaeshimu mama zetu ili tuweze kupata hekima ya maisha marefu duniani na siku zote za maisha mpe nafasi mama maana yeye ndio anajua uchungu wa mwana. Tuwapende mama zetu ili tupate miaka mingi na heri duniani.
Hatimaye muda umefika. Al Ahly tayari wapo jijini. Kwa mashabiki wa Yanga, ni wakati wa hisia mchanganyiko. Furaha iliyojichovya kwenye woga wa kukutana na timu kubwa. Kwa upande mmoja wasingependa kukutana na wababe wao katika raundi ya kwanza. Kwa upande wa pili, timu kubwa kama Alhly hupandisha mzuka kwa mashabiki. Ni fursa nyingine tena kwa Yanga, aidha kufungua ukurasa mpya kwa kuwafunga wamisri kwa mara ya kwanza au kuendeleza uteja kwa waarabu. Mechi sita, vipigo vinne, kapu la magoli 14 huku wakijitutumua kwa kufunga bao moja ni historia ambayo kila Mwanajangwani asingependa iendelee hio Jumamosi. Mara ya mwisho, timu hizi zilipokutana, Al Ahly walimaliza biashara kwenye mechi ya kwanza tu kwa ushindi wa 3-0 huko Cairo. Kipigo cha ‘tatu bila’ kilipelekea kocha wa Yanga wa wakati huo, Dusan Kondic kuinua mikono na kukiri ‘kiroho safi’ tu kuwa Al Ahly wapo anga zingine na Yanga hawawezi kushinda hata mechi ya marudiano nyumbani. Mechi ya marudiano hapa Dar,...
Comments
Post a Comment