Posts

Showing posts from September, 2015

KINDA AJITABILIA MAZURI

Na Eligius   Nyoni MCHEZAJI kinda wa klabu ya majimaji ya mkoani Ruvuma, Antony Mwingira amesema kwamba licha ya   yeye kuwa ndio mara yake ya kwanza kucheza katika ligi kuu ya Tanzainia ameaidi kufanya mazuri kama atapewa nafasi ya kucheza katika kikosi hicho.